HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » SIMBA YAKUBALI KICHAPO CHA BAO 2-1 KUOKA KWA AZAMFC



 Mshambuliaji wa Simba, Betram Mwombeki akiwatoka mabeki wa Azam FC.

Mshambuliaji wa Simba, Edward Christopher (kulia), akiwania mpira na wachezaji wa Azam FC, Kipre Tchetche na David Mwantika.(Picha na Francis Dande)

ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI

 Ramadhani Singano (kushoto), akimtoka David Mwantika.
 Wachezaji wa timu ya Azam wakishangilia bao la pili la timu yao baada ya kuifunga Simba 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyikakwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Azam imeshinda 2-1. 
 

 Mashabiki wa Simba wakiwa wameduwaa huku wakifuatilia mchezo kati ya Simba na Azam FC.
Beki wa Azam FC, David Mwantika (kulia), akichuana na mshambuliaji wa Simba, Ramadhani Singano katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Azam imeshinda 2-1.
 Kipa wa Azam FC, Mwadin Ali akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Sino Augustino.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: