AZAM FC YAITANDIKA RUVU SHOOTING MABAO 3-0


Mshambuliaji wa Ruvu Shooting , Juma Hamisi (kushoto) akiwania mpira na Winga wa Azam Fc, Khamis Mcha, katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Chamanz i jijini  Dar es Salaam. Azam imeshinda 3-0. 
Wachezaji wa timu ya Azam Fc  wakishangilia bao la pili  lililofungwa na Joseph Kimwaga  dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara.

ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI

Mshambuliaji wa Ruvu Shooting ,Juma Hamisi (kushoto) akiwania mpira na Winga wa Azam Fc, Khamis Mcha, katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

No comments

Powered by Blogger.