AZAM FC YAITANDIKA RUVU SHOOTING MABAO 3-0
Mshambuliaji wa Ruvu Shooting , Juma Hamisi (kushoto) akiwania mpira na
Winga wa Azam Fc, Khamis Mcha, katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Chamanz i jijini Dar es Salaam. Azam imeshinda 3-0.
Wachezaji wa timu ya Azam Fc wakishangilia bao la
pili lililofungwa na Joseph Kimwaga dhidi ya Ruvu
Shooting katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara.
ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI
Mshambuliaji wa Ruvu
Shooting ,Juma Hamisi (kushoto) akiwania mpira na Winga wa Azam Fc, Khamis Mcha,
katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Post a Comment