HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » MAADHIMISHO YA SIKU YA MLIPA KODI YAFANYIKA MKOANI DODOMA

Mkuu wa mkoa, Dr Rehema Nchimbi akiwahutubia wananchi wa mkoa wa Dodoma waliohudhuria maadhimisho ya siku ya kilele cha mlipa kodi yaliyofanyika leo.(PICHA NA JOHN BANDA)
 Meneja wa Mamraka ya mapato mkoa wa Dodoma Thadeo Kaliza akifafanua jambo kwa wakazi wa mji huo waliohudhulia ili kushuhudia kilele cha siku ya mlipa kodi yaliyofanyika katika viwanja vya nyerere squere.

 ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI

 Mkuu wa mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi akiwa na Meneja wa Mamraka ya mapato mkoa Thadeo Kaliza kushoto na Meya wa manispaa hiyo Emanuel Mwiliko walipokuwa kwenye maadhimisho ya Kilele cha siku ya mlipa kodi yaliyofanyika katika viwanja vya Nyerere.
  Mkuu wa mkoa wa Dodoma Drk Rehema Nchimbi akimkabidhi cheti Mfanyabiashara anayemiliki vituo kadha vya mafuta Karlim  Azizi Banji, katika maadhimisho ya kilele cha siku ya mlipa kodi Nchini cheti hicho kilitolewa na mamraka ya mapato mkoani Dodoma  kamai kielelezo cha kulipa kodi anayechangia pato la taifa.
 Dr. Rehema Nchimbi akimkabidhi cheti cha mlipaji kodi Bora kwa wafanyabiashara wa kati muwakilishi wa Duka la vitabu la Victory Bookshop LTD Sameera Ismail Dawood kwenye maadhimisho hayo.
Wafanyakazi wa Mamraka ya mapato Mkoa wa Dodoma wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali walihudhuria maadhimisho ya kilele cha siku ya mlipa kodi yaliyofanyika leo mjini Dodoma.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: