HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » TAMASHA LA CHRITMAS MKOANI DODOMA KUFANYIKA LEO UWANJA WA JAMHURI

 Mratibu wa Tamasha hilo John Banda akizungumza na Waandishi wa habari juu ya kukamilika kwa maandalizi ya tamasha hilo, Kushoto ni Mmoja wa waimbaji kwenye tamasha hilo Beatrice Wiliam (BSS 2011) Maandalizi ya Tamasha la Chrismas ndani ya Dodoma Tayari yamekamilika wasanii Kibao toka ndani na nje ya Tanzania Tayali wapo Dodoma na Asubuhi ya leo wameshiriki ibada ya pamoja katika kanisa la Mlima wa moto Sabasaba Dodoma.
 Josephine Sudai akionyesha uwezo wake wa kuimba ndani ya kanisa la mlima wa moto Dodoma kabla ya saa 7 mchana kuelekea uwanja wa Jamhuri kwenye tamasha la Chrismas

 ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI

 Jubilee Lugobo toka jiji Dar es salaam nae yupo Dodoma kwa ajili ya tamasha hilo
  Lusekelo Mwandiga akiimba kwa mbwembwe ndani ya kanisa la mlima wa moto sabasaba Dodoma kabla ya kushiriki tamasha hilo
Mwanadada Rose Kimaryo ndani ya tamasha hilo na hapa ni mlima wa moto sabasaba
 Mwimbaji Beatrice Wiliamu akihojiwa katika moja ya Radio station IMPACT FM kuhusiana na Tamasha hilo.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: