HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » BALOZI LIBERATA MULAMULA AHUDHURIA ONYESHO LA PICHA ZA KUCHORA LA JAMBO, TANZANIA


Mariam Osher Mmarekani mchoraji aliyetembelea mbuga za wanyama Tanzania na kubuni uchoraji wa wanyama aliowaona huko Tanzania na kutumia michoro hiyo kuitangaza Tanzania kwa Wamarekani na raia wengine ambao wajawahifika Tanzania kwenye maonesho ya picha zake yaliyofanyika leo Silver Spring, Maryland kwenye ukumbi wa WPG uliopo 8230 Georgia Ave.

Mhe. Liberata Mulamula , Balozi wa Tanzania nchini Marekani (wapili toka kulia) akiwa pamoja na Afisa wa Ubalozi kitengo cha Utalii Bi. Immaculata Diyamett wakifuatilia maelezo ya Marian Osher.

 ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI


Balozi Liberata Mulamula pamoja na Afisa Immaculata Diyamett wakifuatilia maelezo ya Marian Osher
Juu na chini ni watu mbalimbali waliofika kwenye onesho hilo la Marian Osher.


Mhe. Balozi Liberata Mulamula akitoa shukurani zake kwa Marian Osher huku akiongea na watu waliofika kwenye onesho hilo kuwaelezea vivutio vilivyopo kwenye mbuga zetu za wanyama.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: