NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO SINDE B MKOANI MBEYA

Wananchi wakielekea eneo la tukio kwa ajili ya kuuzima moto huo kabla kikosi cha zimamoto kufika

Changamoto kwa kikosi cha zimamoto mbeya mbali ya kuwahi eneo la tukio lakini mipira ya maji ni mibovu mipira hiyo ina matundu kibao

 ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI

 



Moja ya gari lililookolwea na wananchi

Kikosi cha zimamoto kazini

Samani mbalimbali zimeteketea kwa moto




Madiwani wa kata ya manga kushoto Diwani viti maalumu Mary Malema na Daniel Mwakisyala wakiwa eneo la tukio


Faraja Damasi akipatiwa matibabu katika kituo cha afya Mwanjelwa baada ya kupata mstuko na kuzirai

Picha na Ezekiel Kamanga
Mbeya yetu

No comments

Powered by Blogger.