Gari
aina ya Toyota Coaster inayofanya safari zake kati ya Ubungo na Tegeta
jijini Dar es Salaam imepata ajali mbaya leo mchana baada ya kugongana
na daladala ya Kawe na Ubungo na kusababisha vifo vya watu wanaokadiriwa kuwa zaidi ya 14 katika eneo la Makongo Sekondari jijini Dar.
Maiti bado zipo eneo la tukio, habari zaidi zitakujia hivi punde.
-
No comments:
Post a Comment