DEREVA WA BODABODA AUWAWA NA KISHA KUPORWA PIKIPIKI MJINI DODOMA

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.

 Tukio hili limetokea eneo la Bonanza kata ya Chamwino, Dodoma mjini. Kwa shuhuda wetu aliyekuwa eneo la tukio  amesema kuwa dereva wa bodaboda amekutwa amefariki  baada ya kuuliwa na watu wasiojulikana  na kisha watu hao kutoweka  bodaboda aliyokuwa akiendesha marehemu huyo. Dereva huyo wa bodaboda  amechomwa kisu maeneo ya tumboni na shingoni katika mwili wake na katika eneo la tukio kumekutwa visu viwili amavyo vinasadikika kutumiwa katika uharifu huo kando kidogo ya barabara na sehemu ulipokuwa mwili wa marehemu.(Picha na Alex wa Pamoja Blog)
 Hiki ni mojawapo ya kisu kinachosadikiwaa kutumika katika kufanya mauaji hayo ya dereva wa Bodaboda na kisha watu hao kutoweka na pikipiki.

ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI

 Damu ikiwa imetapakaa eneo la tukio
 Hii ni mojawapo ya sehemu aliyochomwa kisu dereva huyo wa bodaboda 
Baadhi ya mashuhuda wakiwa kwenye eneo la tukio

No comments

Powered by Blogger.