PICHA: WANACHAMA WA CHADEMA WAFANYA MAANDAMANO ENEO LA MANZESE JIJI DAR KUPINGA BUNGE LA KATIBA

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.

Wananchi wa Manzese ambao ni wanachama wa chama cha democrasia na maendeleo CHADEMA leo wamefanya maandamano ya kuendelea kupinga kile wanachokiita ni wizi unaoendelea ndani ya bunge maalum la katiba ikiwa ni mwendelezo wa kutimiza tamko la mkutano mkuu la chama hicho la kufanya maandamano nchi nzima kupinga mchakato huo

No comments

Powered by Blogger.