USIULIZE MASWALI HAYA UNAPOTOKA NA MTU KIMAPENZI KWA MARA YA KWANZA

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu. 

  1. Naweza Kuazima hela kidogo?
  2. Unazungumziaje suala la mimi na wewe kuoana?
  3. Usiulize swali lolote linalohusu kujamiiana
  4. Unapokea mshahara kiasi gani?
  5. Unategemea kuwa na familia ya watoto wangapi?
  6. Wazazi wako wanafanya kazi gani? Wanaishi vipi?
  7. Usiulize maswali mengi yanayomuhusu mpenzi wake wa zamani.
  8. Hivi naonekana vipi? (huonesha hali ya kutaka sifa)
  9. Una Ugonjwa wowote?
  10. Kwanini hutumii simu/gari ya kisasa? Au kwanini umevaa hivyo leo?
NA KUMI MUHIMU

No comments

Powered by Blogger.