Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano
Serikalini (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bi Joyce Mkinga (Kushoto)
akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa akitoa
taarifa ya kufanyika kwa Mkutano wa Maafisa Mipango unaotarajiwa kufanyika
Mwezi wa Oktoba mwaka huu. Kulia ni Mchumi Mkuu (Ofisi ya Rais, Tume ya
Mipango), Bw. Omary Juma.
-




No comments:
Post a Comment