Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.
Msamaria mwema akimbeba Mamalishe alifahamika kawa jina la Khadija Rashidi aliezirai baada ya milipuko ya mabomu katika ghasia za wamachinga na Askari Polisi leo mchana katika eneo la kariakoo. Mama lishe huyo alikuwa katika shughuli zake za kutayarisha chakula ghafla wamachinga waliokuwa wanakimbia kutaka kujificha katika sehemu za wafanyabiashara hao.
ENDELEA KUSOMA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI
baadhi ya wasamaria wakimsaidia Mama lishe aliefahamika kwa jina Mwanahamisi ambaye alizimia baada ya mabomu kurindima katika vurugu kati ya wamachinga na Askari Polisi cha FFU leo mchana.
Mashuhuda.
Askari Polisi wakiwapakia kwenye gari baadhi ya Wamachinga waliosababisha tafrani katika eneo la Kariakoo,Jijini Dar es salaam mchana wa leo.
Wananchi wakishirikiana kuondoa mawe barabarani ili kuruhusu
magari kuendelea na safari zake. JESHI la Polisi jijini Dar limelazimika
kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafanyabiashara ndogondogo maarufu kwa
jina la Machinga waliokuwa wanaandamana kuelekea ofisi za jiji eneo la Kamata,
Kariakoo jijini Dar es Salaam leo.
No comments:
Post a Comment