HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » MJUMBE KAMATI YA USAJILI SIMBA AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KOSA LA KUMPIGA MTOTO WA MANJI

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


 
Mjumbe wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba, Musleh Al Rawah akiwa na Wakili wake Damas Ndumbaro katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam alipofikishwa mhakamani kwa tuhuma za kumjeruhi na kumzuru mtoto wa Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, Meheub Manji. (Picha na Loveness Bernard)
Mjumbe wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba, Musleh Al Rawah akiwa chini ya ulinzi wa askari Polisi wakati akipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kumjeruhi na kumzuru Mtoto wa Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, Meheub Manji.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: