Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.

Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kushoto akikabidhiwa fomu yenye orodha ya
Wadhamini waliojitokeza kumdhamini katika
mbio za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama
cha Mapinduzi CCM kutoka kwa Katibu wa
CCM Wilaya ya Morogoro mjini

Dkt. Magufuli akiangalia
kwa makini zoezi la uhakiki wa Wanachama na udhamini likiendelea katika Ofisi
za CCM Wilaya ya Morogoro mjini.

Katibu wa Chama cha
Mapinduzi CCM Wilaya ya Morogoro Mjini akikagua kadi za wanachama waliojitokeza
kumdhamini Waziri Magufuli.

. Waziri wa Ujenzi Dkt.
John Magufuli akinyoosha juu fomu zake za wadhamini walijitokeza kumdhamini
katika Mkoa wa Morogoro.

Dkt. Magufuli akisalimiana
na baadhi ya Wanachama wa CCM mkoani Morogoro waliojitokeza kumdhamini.

Vijana wa Morogoro
wakimshangilia Waziri Magufuli mara baada ya kutoka kwenye Ofisi za CCM Wilaya.



No comments:
Post a Comment