HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » MOROGORO WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI WAZIRI MAGUFULI

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


 Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kushoto akikabidhiwa fomu yenye orodha ya Wadhamini waliojitokeza kumdhamini katika  mbio za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM  kutoka kwa Katibu wa CCM Wilaya ya Morogoro mjini
 Dkt. Magufuli akiangalia kwa makini zoezi la uhakiki wa Wanachama na udhamini likiendelea katika Ofisi za CCM Wilaya ya Morogoro mjini.
 Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Morogoro Mjini akikagua kadi za wanachama waliojitokeza kumdhamini Waziri Magufuli.
 . Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akinyoosha juu fomu zake za wadhamini walijitokeza kumdhamini katika Mkoa wa Morogoro.
 Dkt. Magufuli akisalimiana na baadhi ya Wanachama wa CCM mkoani Morogoro waliojitokeza kumdhamini.
 Vijana wa Morogoro wakimshangilia Waziri Magufuli mara baada ya kutoka kwenye Ofisi za CCM Wilaya.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: