HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » WATU TISA WAFARIKI KANISANI BAADA YA KUSHAMBULIWA KWA RISASI

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


 Polisi katika jimbo la South Carolina nchini Marekani wamesema kuwa mtu mmoja aliyejihami kwa bunduki amewapiga risasi na kuwaua watu tisa ndani ya kanisa la kimethodist.
 Polisi wa eneo hilo la Charleston wameelezea kuwa kwa sasa wanamtafuta mshukiwa huyo anayeaminiwa kuwa kijana wa kizungu katika miaka ya ishirini.

 Shambulio hilo limefanyika ndani ya kanisa la Emmanuel African Methodist Church, kanisa linaloaminiwa kuwa la zamani zaidi la kiafrika nchini Marekani
Polisi wamesema kuwa shambulio hili ni la chuki ya rangi ya ngozi.

BBC SWAHILI

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: