Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.

Waziri wa Fedha, Mhe. Saada Salum Mkuya (Mb) akionyesha
Begi la Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16 wakati
anawasili katika Viwanja vya Bunge, Mjini Dodoma leo.

Waziri wa Fedha, Mhe. Saada Salum Mkuya (MB) akiwasilisha bungeni
Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16, Mjini Dodoma leo.



No comments:
Post a Comment