HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » DKT MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE LEO, AHUTUBIA KISARAWE,UKONGA NA BAADAE KUHUTUBIA PEMBA

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


 Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akimpongeza mmoja wa wakazi wa Ukonga mara baada kughani shairi lililokuwa likimsifia kuwa ana sifa zote za kuwa Rais wa Tanzania,kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika mapema leo asubuhi kwenye uwanja wa mpira wa Moshi Bara,Ukonga jijini Dar
  Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akimpongeza mmoja wa wakazi wa Ukonga mara baada kughani shairi lililokuwa likimsifia kuwa ana sifa zote za kuwa Rais wa Tanzania,kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika mapema leo asubuhi kwenye uwanja wa mpira wa Moshi Bara,Ukonga jijini Dar
  Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akiwahutubia wakazi wa jimbo la Ukonga mapema leo mchana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa mpira wa Moshi Bara,Dkt Magufuli amemaliza mkutano wake wa kampeni jimbo la Kisarawe,Ukonga na baadae anatarajia kuhutubia mkutano wa Kampeni Pemba na Unguja.
 Wakazi wa Ukonga wakishangilia kwenye mkutano huo wa kampeni.
 Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akiwahutubia wakazi wa jimbo la Ukonga mapema leo mchana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa mpira wa Moshi Bara,Dkt Magufuli amemaliza mkutano wake wa kampeni jimbo la Kisarawe,Ukonga na baadae anatarajia kuhutubia mkutano wa Kampeni Pemba na Unguja.
 Wakazi wa Ukonga wakifuatilia mkutano wa kampeni wa Dkt John Pombe uliofanyika leo mchana kwenye uwanja wa mpira moshi bar.

 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akimwombea kura mgombea Ubunge jimbo la Kisarawe Selemen Jaff mapema leo asubuhi kwenye mkutano wa kampeni
  Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akimwombea kura mgombea Ubunge jimbo la Kisarawe Selemen Jaff mapema leo asubuhi mbele ye Wakazi wa mji huo kwenye mkutano wa kampeni
 Mgombea Urais wa CCM John Pombe Magufuli akionesha picha yake aliyokabidhiwa kama zawadi na mkazi wa Kisarawe mapema leo asubuhi kwenye mkutano wa kampeni.
 Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akihutubia wakazi wa Ukonga mara baada ya kumsimamisha wakitaka awasalimie na wamweleze shida zao ili atakapokuwa Rais aweze kuwasaidia,Dkt Magufuli alikuwa akitokea Kisarawe kwenye mkutano wake wa kampeni.
 Katika hali isiyo ya kawaida vijana walijitokeza kuanza kufuta barabara ya vumbi ili Mgombea Urais Dkt Mafuguli aweze kupita.PICHA NA MICHUZI JR-DAR

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: