Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.
Rais Dkt.John Pombe Magufuli akimjulia hali Mkurugenzi wa kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC) Dkt.Helen Kijo Bisimba aliyelazwa katika hospitali ya Aga Khan Jijini Dar es Salaam baada ya kujeruhiwa katika ajali jana. (Picha na Freddy Maro, Ikulu)
Rais Dkt.John Pombe Magufuli akimjulia hali Mkurugenzi wa kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC) Dkt.Helen Kijo Bisimba aliyelazwa katika hospitali ya Aga Khan Jijini Dar es Salaam baada ya kujeruhiwa katika ajali jana.
Rais wa Tanzania Dk.John Pombe Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya taifa Muhimbili kujionea hali ya utoaji huduma kwa wagonjwa.


Rais Dkt.John Pombe Magufuli akiwajulia hali wagonjwa waliolazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili wakati alipofanya ziara ya kushtukiza hospitalini hapo leo na kuwafariji wagonjwa.
Rais Dk. John Pombe Magufuli akitoka katika jengo la MOI.
Rais Dkt.John Pombe Magufuli akizungumza na baadhi wananchi waliomweleza shida zao mbalimbali wakati alipofanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya taifa Muhimbili leo.
Rais Dkt.john Pombe Magufuli akizungumza na kuwapa moyo wauguzi katika hospitali ya taifa Muhimbili wakati alipofanya ziara ya ghafa kujionea hali halisi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli
akimjulia hali Mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za Binadam,Bi
Hellen Kijo Bisimba aliyelazwa hospital ya Agakhan mapema leo kufuatia
ajali ya gari aliyoipata mwishoni mwa wiki barabara ya Al-Hassan Mwinyi
jijini Dar.




No comments:
Post a Comment