HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » SPORTS LADY ZAINABU 'IKOTA' MHAMILA HAHITIMU SHULE YA MSINGI SASA KWENDA SEKONDARI

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


SPORTS LADY ZAINABU 'IKOTA' MHAMILA
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimpatia bint yake sports lady Zainabu Mhamila 'Ikota' madaftal makubwa kwa ajili ya kwenda kidato cha kwanza wakati wa mahafari ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam
Zainabu Ikota Mhamila akipokea zawadi kutoka kwa dada yake Sada Swedy wakati wa mahafari ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto dar es salaam katikati ni shangazi yake Azania Athumani Mtopa na baba yake Rajabu Mhamila ;super d
Asha Kamnyanga 'mama Ikota' kushoto akimpatias zawadi bint yake Zainabu Mhamila ' Ikota' wakati wa mahafari ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam katikasti ni shangazi yake Azania Athumani Mtopa
Asha Kamnyanga 'mama Ikota' kushoto akimpatias zawadi bint yake Zainabu Mhamila ' Ikota' wakati wa mahafari ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam katikasti ni shangazi yake Azania Athumani Mtopa
Zainabu Mhamila 'Ikota' akimlisha keki Mama yake Asha Kamnyanga 'Mama Ikota' wakati wa Mahafali ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam anaeshudia katikati ni dada yake Sada Swedy
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa na bint yake Zainabu Mhamila 'Ikota' wakati wa mahafali ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa na bint yake Zainabu Mhamila 'Ikota' wakati wa mahafali ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa na bint yake Zainabu Mhamila 'Ikota' wakati wa mahafali ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi msimbazi mseto wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mahafari ya 22 ya shele hiyo
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu mhamila wa pili kushoto akiwa na baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam wakati wa mahafali ya 22 ya shele hiyo
ZAINABU MHAMILA 'IKOTA' NA RAJABU MHAMILA 'SUPER D' WAKIWA MBELE YA SHULE YA MSINGI MSIMBAZI MSETO DAR ES SALAAM

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: