Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira (kulia), akipokelewa na Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Ilala, SACP Lucas Mkondya, alipofika kufunga kikao kazi cha Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya
Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira (wanne kushoto waliokaa), Mkuu
wa Jeshi la Polisi, IGP Ernest Mangu (kushoto kwa Katibu Mkuu) wakiwa katika
picha ya pamoja na Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi, mara baada ya kufungwa
Mkutano wao wa Mwaka uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu
Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi.
No comments:
Post a Comment