HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » GAPCO ILIVYOWABEBA WALEMAVU KILIMANJARO MARATHONI 2016.

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


Washiriki wa mbio za Km 10 upande wa walemavu wakijiandaa kushiriki mbio hizo zinazodhaminiwa na kampuni ya GAPCO.
Mshindi wa kwanza kwa upande wa wanaume katika mbio za Kimataifa za Kilimanjaro Marathoni kwa kutumia kiti chenye magurudumu ya kusukuma kwa mikonoo kwa upande wa walemavu,Vosta Peter akihitimisha mbio hizo zilizodhaminiwa na kkampuni ya GAPCO katika uwanja wa chuo kikuu cha Ushirika mjini Moshi.

Mshindi wa kwanza kwa upande wa wanawake katika mbio za Kimataifa za Kilimanjaro Marathoni kwa kutumia kiti chenye magurudumu ya kusukuma kwa mikono kwa upande wa walemavu,Linda Macha akihitimisha mbio hizo zilizodhaminiwa na kampuni ya GAPCO katika uwanja wa chuo kikuu cha Ushirika mjini Moshi.
Washiriki wengine wa mbio hizo wakihitimisha katika uwanja wa chuo kikuu cha Ushirika.
Mstahiki Meya wa manispaa ya Moshi ,Raymond Mboya akimkabidhi Mshindi wa kwanza kwa upande wa wanawake katika mbio za Kimataifa za Kilimanjaro Marathoni kwa kutumia kiti chenye magurudumu ya kusukuma kwa mikonoo kwa upande wa walemavu,Linda Macha mfano wa hundi ya kiasi cha shilingi Miioni moja kutoka kwa wadhamini wa mbio hizo kampuni ya GAPCO.
Mstahiki Meya wa manispaa ya Moshi ,Raymond Mboya akimkabidhi Mshindi wa kwanza kwa upande wa wanaume katika mbio za Kimataifa za Kilimanjaro Marathoni kwa kutumia kiti chenye magurudumu ya kusukuma kwa mikonoo kwa upande wa walemavu,Vosta Peter mfano wa hundi ya kiasi cha shilingi Miioni moja kutoka kwa wadhamini wa mbio hizo kampuni ya GAPCO.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini. 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: