HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » LEO NI SIKU YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU JESSIE CHIUME KWA SAFARI YAKE YA MILELE TANZANIA.


RATIBA YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU DADA JESSIE CHIUME KWA SAFARI YAKE YA MILELE TANZANIA.

Ratiba kamili ya kuaga mwili wa mpendwa Da Jessie ni kama ifuatavyo.

1. Kuanzia Jumatatu tutaendelea kujumuika nyumbani kwa marehemu, 44 Fleetwood Ave, Mt. Vernon, NY, 10552

2. Jumatano, Machi 2, 2016
Flynn Memorial Home,
1652 Central Park Avenue,
Yonkers, NY 10710.
Heshima za mwisho (Viewing): 4pm-7pm

Ibada (Service): 7pm-8pm
Baada ya shughuli kumalizika, tutatoa tangazo la wapi pa kukusanyika usiku huo kwa wale ambao watataka kujumuika na wafiwa.

Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuondoka New York kwenda Dar es Salaam, Tanzania asubuhi ya Alhamisi Machi 3, 2016.
Na mazishi yatafanyika sikuya jumamosi ya ter, 5, 2016 katika makaburi ya Kinondoni Dar-Es-Salaam.

Mwenyezi Mungu akipenda Da Jessie atapumzishwa kwenye nyumba yake ya milele siku ya weekendi mara baada ya kuwasili Dar es Salaam siku ya Ijumaa, Machi 4. Taarifa zaidi zitafuata.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu mpendwa wetu Da Jessie Wayasa Mgeni Chiume mahala pema Peponi. Ameen.
Link ya kutoa rambirambi ni:


Kwa taarifa zaidi:
Michael Chiume: # 646-662-6999
Chris Litunwa: #614-592-6231
Nathan Chiume:# 646-552-6347
Hajji Khamis:# 347-623-8965

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: