HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» » » MR NICE APATA MAPOKEZI YA HESHIMA LODWAR, KENYA

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


 Anaweza kuwa anachukuliwa poa Tanzania, lakini umaarufu wa Mr Nice nchini Kenya bado ni mkubwa na usioweza kuufananisha na mastaa kibao wanaofanya vizuri Bongo kwa sasa (nabii hakubaliki kwao).

Hitmaker huyo wa ‘Fagilia’ amepata mapokezi ya heshima mjini Lodwar, Kenya yanayotaka kushabihiana kidogo na yale aliyoyapata Diamond Platnumz aliyeenda huko miezi kadhaa iliyopita.

Muasisi huyo wa style ya Takeu, atatumbuiza Jumamosi hii kwenye kiota cha MARBLE CLUB & VIP LOUNGE.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: