Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.
Rais Mteule wa Marekani Donald Trump amekutana na rais Barack Obama Ikulu katika mkutano uliolenga kuandaa mazingira mazuri ya kukabidhiana madaraka.
Mkutano huo ambao ulilenga kumaliza tofauti zao baada ya kampeni kuisha umemalizika kwa mafanikio makubwa huku Trump akimuelezea rais Obama kama mtu mzuri.
Trump pia ametumia akaunti yake ya twitta kutwitti kueleza kuwa alikuwa na wakati mzuri alipofika mara ya kwanza Ikulu na kusema kuwa mkewe Melania amevutiwa na Michelle Obama.
Rais Barack Obama akipeana mkono na rais mteule Donald Trump









No comments:
Post a Comment