HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» » » VIDEO:MOBISOL YAMKUNA RC RUVUMA

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Dkt. Bilinith Mahenge amelitaka shirika la umeme TANESCO mkoa wa Ruvuma kushirikiana na kampuni ya umeme majumbani mobisol iliyopo mkoa hapa katika kuboresha huduma za kijamii kwani wamekuwa wakiwafikia wananchi walio wengi husasani wa vijijini.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: