HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

WAZIRI MWAKYEMBE AMTEMBELEA NA KUMJULIA HALI NAHODHA WA SERENGETI BOYS

VIDEO – MBUNGE WA VITI MAALUM MKOANI RUVUMA, AZUNGUMZIA MAMBO MANNE ANAYOPAMBANA NAYO

Dakika mbili za Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Ruvuma kupitia chama cha mapinduzi (CCM ) Mhe. Sikudhani Chikambo, akizungumzia mambo manne anayopambana nayo katika mkoa wa Ruvuma.

PROF TIBAIJUKA AONYA UPOTOSHAJI WA MITANDAONI NA KUTOA UFAFANUZI KUHUSU MCHANGO WAKE BUNGENI

Tazama nyimbo mpya ya Snura ft Yamoto band "Nionee wivu"

SERIKALI YATOLEA UFAFANUZI SUALA LA VYETI FEKI

VIDEO – WAZAZI WALAZIMISHWA KUCHIMBA KABULI, WANANCHI WAKATAA KUZIKA MWILI WA MAREHEMU.

Wakazi wa mtaa wa NAMANYINGU kata ya MSHANGANO Manispaa ya Songea Mkoani RUVUMA, wamewalazimisha mume na mke kuchimba kabuli la mtoto wao aitwaye DANROAD MAHUNDI mwenye umri wa miaka 36 ambaye inasemekana wazazi wake wamemua kwa njia za kishirikina.

VIDEO: Ajira ya uoshaji magari yamtakatisha Dar

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


The Beauty TV katika pitapita yake mjini Posta ilikutana na kijana muosha magari Khumudi Juma almaarufu kama Muddy wa Muzungu na kuzungumza nae juu ya ajira yake hiyo inayomfanya aheshimike mjini, mtazame kupitia Youtube ya The Beauty TV na usisahau ku-subscribe kwa ajili ya kupata updates zaidi.

TAZAMA HAPA HOTUBA YA MWISHO YA RAIS BARACK OBAMA ILIYOMTOA MACHOZI



Rais Barack Obama ametoa hotuba yake ya mwisho akiwa kama rais wa Marekani, huko Chicago hotuba ambayo ilijaa hisia kali na kupelekea kutokwa na machozi yeye pamoja na baadhi ya watu.

Rais wa Marekani Barack Obama amewahimiza Wamarekani kuitetea demokrasia, kwenye hotuba yake ya mwisho kama rais wa Marekani mjini Chicago.
"Kwa kila kipimo, Marekani sasa ni bora zaidi, na ina nguvu zaidi" kuliko ilivyokuwa miaka minane iliyopita alipochukua madaraka, amewaambia maelfu ya wafuasi wake waliokusanyika mjini humo.
Hata hivyo, "demokrasia inatishiwa kila inapokosa kutiliwa maanani".

Amewaomba Wamarekani wa kila asili kuangazia mambo kutoka kwa msimamo wa wengine, na kusema kwamba "lazima tuwategee sikio wengine na kusikia".
Rais Obama ndiye rais wa kwanza nchini Marekani wa asili ya Afrika na alichaguliwa mwaka 2008 akiahidi kurejesha matumaini na kutekeleza mabadiliko.


Mrithi wake Donald Trump ameahidi kubatilisha baadhi ya sera kuu alizofanikisha Bw Obama, 55.
Michelle Obama akimliwaza binti yake Milia ambaye alijikuta akitokwa na machozi wakati akisikiliza hotuba ya baba yake Rais Barack Obama
Makamu wa rais wa Marekani Joe Biden naye alijikuta akishindwa kujizuia na kutokwa na machozi
 Rais wa Marekani, Barack Obama akikumbatiana na Makamu wa rais wa Marekani Joe Biden baada ya kumaliza hotuba yake.
Michelle Obama akimkumbatia mumewe rais Barack Obama baada ya kumaliza hotuba yake. 
Rais wa Marekani Barack Obama akimkumbatia binti yake Milia baada ya kumaliza hotuba yake. 

VIDEO: RAIS OBAMA AFANYIWA MAHIJIANO YA MWISHO AKIWA NDANI YA IKULU YA MAREKANI

INTRODUCING GALAXY CERTIFIED NEW SONG-TOP IN MY HEART

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


TIC YAONYA MATUMIZI YA MAJINA YA TAASISI NA VIONGOZI BILA RIDHAA KWENYE MAKONGAMANO

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


KAMPUNI YA MANTRA TANZANIA IMETOA MSAADA WA VIFAA VYENYE THAMANI YA MILIONI 12 KWA DAWATI LA KIPOLISI LA KUSHUGHULIKIA MASUALA YA UKATILI WA KIJINSIA NA WATOTO.

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


 Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Dkt Binilith Mahenge akipokea msaada wa Vifaa kutoka kwa Afisa Mahusiano wa kampuni ya Mantra Tanzania Khadija Pallangyo.

Kampuni hiyo inajihusisha na utafiti wa uchimbaji wa Madini aina ya Uranium katika eneo la Mto mkuju wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma , imekabidhi msaada wa vifaa mbalimbali vya ofisi kwenye Ofisi ya Dawati la kipolisi la Kushughulikia masuala ya ukatili wa Kijinsia na watoto mjini Songea mkoani RUVUMA vikiwa na thamani ya shilingi milioni 12.

Video: Kagera All Star Ft Baghdad - Inaanza Na Wewe (Tetemeko Kagera)

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.



TAZAMA HAPA VIDEO MPYA YA DIAMOND PLATNUMZ FT RAYVANNY – SALOME (TRADITIONAL OFFICIAL MUSIC VIDEO)

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


JUMAPILI NJEMA; MANENO MTUMISHI AJA NA VIDEO YA JICHO LANGU

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


PICHA NA VIDEO: PAPA FRANCIS AANGUKA GHAFLA AKIONGOZA MISA POLAND

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


 Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amepata ajali ya kuanguka ghafla alipokuwa akitembea kuelekea kwenye jukwaa lililoandaliwa kwa ajili ya kuendesha ibada, Czestochowa nchini Poland.
Papa Francis mwenye umri wa miaka 79 alisaidiwa kwa haraka na wasaidizi wake na kufanikiwa kuamka na kuendelea na safari hadi kwenye kiti kilichoandaliwa.
Kwa bahati nzuri, kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki alionekana kuwa katika hali yake ya kawaida ambapo aliendelea kuongoza ibada hiyo iliyokuwa ikirushwa moja kwa moja kupitia vituo mbalimbali vya runinga na kuangaliwa na mamilioni ya watu.

Kwa mujibu wa Daily Mail, Papa Francis anasumbuliwa na ugonjwa unaojulikana kama Sciatica, ugonjwa ambao wakati mwingine hushusha maumivu ya ghafla kwenye miguu kutoka mgongoni.

VIDEO: MADUKA KIBAO YA FILAMU KARIAKOO YAFUNGWA, TRA YATAKA MIKATABA YA USAMBAZAJI

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


Maduka mengi yanayouza filamu katika eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam, yamefungwa baada ya mamlaka ya mapato Tanzania, TRA kuwataka wamiliki waoneshe mikataba ya usambazaji wa filamu hizo za nje.

Filamu hizo zinadaiwa kutolipiwa ushuru. Kwa mujibu taarifa ya Channel 10, baadhi ya maduka yamefunguliwa nusu huku wamiliki wakifanya biashara kwa kuibia.

Wafanyabiashara hao wamejitetea kuwa hawana mikataba ya usambazaji na kwamba filamu hizo zinapoingia nchini zinakuwa zimeshalipiwa ushuru.
Wakiongea kwenye mkutano na maafisa wa serikali, wafanyabiashara hao wamedai kuwa takriban maduka 40 yamefungwa. Wamesema kuwa suala la kuwa na mikataba na wamiliki wa filamu hizo ni kitu kisichotekelezeka.

TAZAMA HAPA VIDEO MPYA KALA JEREMIAH FT MIRIAM CHIRWA - WANANDOTO

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


TAZAMA VIDEO WIMBO MPYA WA "ESH.E- NAPULIZA"

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


VIDEO: MKUTANO WA MAALIM SEIF WASHINGTON DC

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.