Mtoto aliyepigwa mapanga na baba yake juzi, afariki dunia

polisi-amcharanga-mapanga-mwanae-miaka-4-picha-0Mtoto Devotha Gerald (4) aliyepigwa mapanga na baba yake, polisi mstaafu Samson Bwire Amefariki dunia baada ya jitihada za madaktari kuokoa maisha yake kushindikana.

Mtuhumiwa wa tendo hilo ambaye naye alipigwa vibaya na wananchi wenye hasira yuko mikononi mwa jeshi la polisi.
Tendo hili lilitokea mkoani Shinyanga. Kama haukuona habari hiyo ya kusikitisha, ya kushambuliwa mtoto huyo, iliyotokea juzi usiku,
 
KAMA ULIIKOSA HABARI HIYO BOFYA HAPA CHINI
  
 

No comments

Powered by Blogger.