MWONEKANO WA JIJI LA DAR ES SALAAM KUTOKA BAHARINI MWAKA 2013 SIJUI PATAFANANAJE HAPA 2020

 Hii ndio benki kuu ya Tanzania ikiwa na mwonekano wa tofauti na majengo mengine
 Makao makuu ya mawasiliano ya Baharini
 Magorofa yakiendelea kujengwa na kuupendezesha jiji la Dar es Salaam
 Inavyosemekana jengo ili likimalizika uenda ndo likawa ndo jengo refu kuliko yote maeneo ya Posta katika jiji la Dar Es Salaam

 Meli ikiwa inashusha mizigo kwenye bandari ya Dar es Salaam
 Jengo la Benki kuu ya Tanzania (B.O.T)

 
 Jengo la Utumishi
 Soko la samaki lililopo Feri jijini Dar es Salaam kama unataka samaki wa aina yeyote anayepatikana bahari ya  Hindi utamkuta hapa
Wavuvi wakiwa kazini
 MV Kigamboni inayotumika kuvusha watu na mizigo kutoka Feri mpaka Kigambi ikiwa inashusha abiria waliokuwa wanatoka katikati ya jiji la Dar Es Salaam

No comments

Powered by Blogger.