PICHA YA LEO: WATOTO NCHINI FINLAND HULAZWA KWENYE VISANDUKU VYA KARATASI PALE TU WANAPOZALIWA

Kwa miaka 75, kina mama wajawazito wamekuwa wakipewa na serikali visanduku vya karatasi. Visanduku hivyo vimekuwa vikitolewa kama sehemu ya vitu muhimu vya mwanzo kwa mtoto atakapozaliwa, kama vile vile nguo, mashuka na midori, ambavyo pia vinaweza kutumika kama kitanda. Na baadhi ya watu wanasema vitu hivyo vimeisaidia Finland kufanikiwa kuwa moja ya nchi ambayo ina viwango vya chini kabisa vya vifo vya watoto duniani.

BBC SWAHILI

No comments

Powered by Blogger.