Dkt. Rwakatare amesema nia kubwa ya
kufanya Ibada hiyo ya Maombezi ni kutaka kuweka usawa kutokana na siku
za hivi karibuni kuibuka kwa Matamko mbalimbali kutoka kwa watu tofauti
wakiwemo viongozi wa Kitaifa, Kidini na wa baadhi ya Makundi
yanayohitilafiana na kusema tukiomba kwa jina la Mungu kila kitu
kitakwenda kama tulivyomuomba ili Tanzania iendelee kuwa nchi ya Amani
na Utulivu kama ilivyokuwa miaka yote ambayo ni kimbilio la watu wa
Mataifa mbalimbali kwa sababu Watanzania hawajui kuchukiana na wamekuwa
watu wa kushikamana kwa miaka yote
Mchungaji Lwakatare Atoa Ujumbe Wa Amani
Tag:
No comments:
Post a Comment