HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » DK.SHEIN ZIARANI NCHINI VIETNAM

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) akiwa na ujumbe wake katika mazungumzo na Uongozi wa Serikali ya Vietnam,katika ziara ya uhusiano na ushirikiano baina pande bili hizo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto)m akizungumza na Makamo wa Rais wa Vietnam Bibi Nguyen Thi Doan,alipofika Ikulu kwa Mazungumzo ya Uhusiano na Mashirikiano baina pande mbili hizo,Rais akiwa katika ziara maalum ya kiserikali nchini humo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiweka shada la mauwa katika kumbusho wa Baba wa Taifa la Vietnam, Ho Chi Minh Mousoleum,alipowasili chini humo akiwa katika ziara rasmi ya Kiserikali,ya wikimoja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa na ujumbe wake wakitoa heshima ya salamu baada ya kuweka shada la mauwa katika kumbusho wa Baba wa Taifa la Vietnam, Ho Chi Minh Mousoleum,akiwa katika ziara rasmi ya Kiserikali,ya wikimoja nchini humo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa na ujumbe wake wakiongozwa kwa gwaride maalum wakati alipowasili katika kumbusho wa Baba wa Taifa la Vietnam, Ho Chi Minh Mousoleum,kuweka shada la mauwa,akiwa katika ziara rasmi ya Kiserikali,ya wikimoja.[Picha na Ramadhan Othman,Vietnam.]

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: