Waitim wakisubilia zoezi la kugawa majoho kwa ajiri ya mahafari ya tatu ya chuo kikuu cha Dodoma
Hii ni foleni ya kuchua majoho leo mchana
Nilikua nafanya majaribio kama linanitosha kwani linaweza kuakubwa au dogo
Joho limenitimia naisubilia tarehe 22/11/2012 kwa ajili ya graduation yangu ya shahada ya kwanza
Aneth akifungua Joho kwa ili kulijaribu kama linamtimia
Fabian akijaribu Joho lake maana ilionekana kuna mabovu ili kuangalia kama ni zima



No comments:
Post a Comment