Mkurugenzi
wa Huduma za Ufundi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI),
Mhandisi Reginald Kimambo akiwaonesha wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa
taasisi hiyo, ramani ya ujenzi wa jengo la ghorofa saba walipotembelea
kukagua maendeleo ya ujenzi huo, Dar es Salaam leo.
Wajumbe wakielekea kuangalia eneo patakapojengwa jenmgo hilo
Wajumbe wakinagalia ramani
Wafanyakazi wa MOI wakielekea sehemu ya kiwanja
Wakiangalia sehemu ya uwanja huo
Sehemu ya kiwanja hicho ambacho watajenga ghorofa
Maandalizi yakiendelea ya baadhi ya nyumba ambayo itatunza vifaa na wafanyakazi
(PICHA NA KHAMIS
MUSSA)
CHANZO: MICHUZI
No comments:
Post a Comment