Mwanamuziki muimbaji
Rehema Chalamila maarufu kama RayC amekumbwa na tatizo kubwa la
kuathirika na madawa ya kulevya. Kwa sasa yumo katika hatua za matibabu
ya kujaribu kuondokana na tatizo hilo. Kwa kadri ya maelezo ya mama yake
dawa ambazo anahitaji kuzitumia ili kuponi ni gharama na pia kama wote
tunavyofahamu pia mgonjwa yoyote anatakiwa kula vizuri, mzigo huu ni
mkubwa kwa huyu mama, kwa hiyo kunahitajika msaada wa kubeba mzigo huo.
Wapenzi wa muziki wa binti huyu na watu wenye mapenzi mema tunaweza
kumsaidia mama huyu kwa kumtumia kiasi chochote cha fedha kwa kutumia
huduma ya tigo pesa kupitia namba 0655999700
Natanguliza shukrani kwa wote watakao weza kutoa msaada wowote kwa ajili ya matibabu ya mwenzetu
Natanguliza shukrani kwa wote watakao weza kutoa msaada wowote kwa ajili ya matibabu ya mwenzetu
No comments:
Post a Comment