Maandamano yalianza kama yalivyopangwa
Chancellor wa Chuo Kikuu cha Dodoma Mh.Benjamin William Mkapa akiongoza maandamano
Deputy Vice Chancellor Planning, Finance and Administration Chuo
Kikiku cha Dodoma Prof. Shaaban A.K.
Mlacha alikua akimuongoza Chancellor kwenye maanadamano ya mahafari ya chuo kikuu cha Dodoma
Dean wa collage ya Humanities and Social Science, Prof. Davis Mwamfupe alikua kwenye maandamano
Deputy Vice Chancellor Planning, Finance and Administration Chuo Kikiku cha Dodoma Prof. Shaaban A.K. Mlacha alikua akimuongoza Chancellor kwenye maanadamano ya mahafari ya chuo kikuu cha Dodoma |
Baadhi ya Wathiri wakibadilishana mawazo
Haji (kushoto) akiwa na Mnisi (kulia) wakifurahia kutunukiwa shahada ya kwanza ya ualimu
Bendi iliyokua inaongoza maandamano
Chancellor wa Chuo Kikuu cha Dodoma Mh.Benjamin William Mkapa akitoa nasaa kwa waitimu
No comments:
Post a Comment