DKT. MAGUFULI AZINDUA BODI YA MFUKO WA BARABARA NA BODI YA WAKALA WA BARABARA JIJINI DAR LEO
Waziri
wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiongea wakati akizindua Bodi ya Mfuko
wa Barabara na Bodi ya Wakala wa Barabara (TANROADS) leo jijini dar es
Salaam.
Waziri
wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (kulia) akimpa zawadi Mjumbe wa Bodi ya
mfuko wa Barabara aliemaliza muda wake kwa mujibu wa sheria za Bodi
Mhandisi Omar Chambo (kushoto).
Katibu Mkuu wa Uchukuzi na Mjumbe wa Bodi yaMfuko wa Barabara aliemaliza muda wake Mhandisi Omar Chambo akishukuru.
Mwenyekiti wa Bodi ya ya Mfuko wa Barabara Dr. James Wanyancha akitoa hotoba yake wakati wa uzinduzi.
Baadhi
ya Wageni waalikwa waliohudhuria katika hafla ya uzinduzi wa Bodi hizo
leo jijini Dar es salaam
Picha
ya pamoja na Bodi ya Mfuko wa Barabara inayoongozwa na Mwenyekiti wake
Dkt. James Wanyancha walioka (mbele kutoka kushoto).
Picha
ya pamoja na Bodi ya Wakala wa Barabra (TANRROADS) (chinin ya
Mwenyekiti Hawa Mmanga ( waliokaa kushoto).
Picha na Mwanakombo
Jumaa-MAELEZO.
Post a Comment