HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » JAMANI MBEYA KUNA NINI?; TRAFIKI WASABABISHA AJALI KISHA WATIMUA WAMWACHA JAMAA ANAGALAGALA CHINI KWA MAUMIVU MBEYA

Jamaa ambae jina lake halikuweza kupatikana alisukumwa na trafiki waendesha pipipiki na jamaa huyo nae alikuwa anaendesha pikipiki  ilikuwa kama sinema kwani jamaa baada ya kuangushwa trafiki hao mmoja alikuja kumuangalia alipomuona jamaa analalamika kwa maumivu akaamua kutimka 

Kidogo askari huyu apate kichapo kwa wananchi wenye hasira kali paada ya kuona kuwa wanausalama hao wa barabarani ndiyo waliosababisha ajali hiyo kiuzembe

Jamaa huyo anaondoka kama yupo vile yaani nikituko hicho hawakurudi tena eneo la tukio
Jamaa anasaidiwa na wasamaria wema kumpeleka hospitali


CHANZO: MBEYA YETU

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: