Waziri
wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Anna Tibaijuka
akiwasalimia wakazi wa kata ya Bunju na Wazo
Waziri
wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Anna Tibaijuka akiongea
katika mkutano wa hadhara
Diwani
wa eneo la Bunju na Wazo Sharif Exavery Majisafi akiongea na wananchi
kabla ya kumkaribisha Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Prof. Anna Tibaijuka kuzungumza nao.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Anna Tibaijuka akipitia baadhi ya nakala za ramani zinazoonyesha eneo la Kata ya Bunju na Wazo pamoja na Kiwanda cha Saruji cha Twiga ambazo ziligawiwa kwa wananchi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Silasi Mayunga. Sehemu ya umati mkubwa wa wakazi wa kata za Bunju na Wazo wakimsikiliza kwa makini Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Anna Tibaijuka. Sehemu ya umati mkubwa wa wakazi wa kata za Bunju na Wazo Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Anna Tibaijuka (kulia) akiongea na Mkurugenzi mtendaji wa kiwanda cha Saruji cha Twiga (Twiga Cement) Bw.Pascal Lessoinne (kushoto)
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Anna Tibaijuka akipitia baadhi ya nakala za ramani zinazoonyesha eneo la Kata ya Bunju na Wazo pamoja na Kiwanda cha Saruji cha Twiga ambazo ziligawiwa kwa wananchi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Silasi Mayunga. Sehemu ya umati mkubwa wa wakazi wa kata za Bunju na Wazo wakimsikiliza kwa makini Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Anna Tibaijuka. Sehemu ya umati mkubwa wa wakazi wa kata za Bunju na Wazo Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Anna Tibaijuka (kulia) akiongea na Mkurugenzi mtendaji wa kiwanda cha Saruji cha Twiga (Twiga Cement) Bw.Pascal Lessoinne (kushoto)
Picha zote na Aron Msigwa – MAELEZO










No comments:
Post a Comment