HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » SEMINA YA MKURABITA YAFANYIKA ZANZIBAR LEO

 
Mtendaji wa Tume ya Mipango Zanzibar BI. Amina Hamisi(Katikati) akiongea na wanahabari kuhusu mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge  mjini Zanzibar leo. Kulia ni Mratibu wa Mkurabita Bibi Seraphia Mgembe,Kushoto ni Mkurugenzi wa Urasimishaji Kutoka Mkurabita Bwana Stephen Rusibamanyika.

 
Mratibu wa Mkurabita Bi Seraphia Mgembe akiongea na Wahariri wa vyombo mbalimbali vya Habari nchini kuhuhusu mpango wa Kurasimisha Rasilimasli na Biasharaq za Wanyonge Tanzania.shughuli hiyo imefanyika Zanzibar.

(Picha na Benjamin Sawe wa WHVUM)

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: