VIJANA WANAOTUMIWA KUMUHUJUMU DR. SLAA.
Alex Nicholaus Thomas MUSHI
Nimesikitishwa sana na vijana wenzangu kutumika kisiasa kiasi cha
kuudhalilisha utu wao. Kijana aiitwaye EDO MWAMA LALA, aliyekuwa katibu
wa BAVICHA mkoa wa Mbeya na Adam CHEGULANI (diwani wa jiji la mwanza
aliyenyang’anywa kadi),wote hawa walifukuzwa Chadema kwa kutokuwa
waadilifu. Wapo kwenye kibarua haramu cha kuhakikisha wanawashawishi
vijana (hasa BAVICHA)kutoa matamko ya kumhujumu Dr. Slaa kisiasa kupitia
vyombo vya habari.
Na wameanza mpango wao na kwa kiasi kikubwa
wameanza kufanikiwa, kwani wamefanikiwa kumshawishi katibu wa BAVICHA
mkoa wa MWANZA, ndugu SALVATORY SHUKURU MAGAFU kutoa tamko kwenye vyombo
vya habari kuomba chama kimfukuze Dr. Slaa chamani. Pia leo hii tayari
wanaye kijana mwingine maarufu wa chadema, atakae toa tamko muda wowote
kuanzia sasa, kijana huyu wamemlipia hoteli moja maarufu iliyopo hapa
jijini na kumpa fedha za kutosha ili atoe tamko kali la kumlaani Dr.
Slaa.
Kwa huu mpango (walioupa jina la MWISHO WA SLAA) ulivyo
watajitokeza vijana wengi sana watakaotoa matamko kumlaani Dr. Slaa kwa
kutumia mwavuli wa BAVICHA imesema. Kwa akili zao zilivyofupi kama
maisha ya funza wanadai wanadhamiria kumuua kabisa Dr. Slaa kisiasa. Na
vijana wengi wamekuwa wakishawishika na upumbavu huu wa EDO na ADAM
kwasababu ya fedha nyingi wanazopewa baada ya kukamilisha kazi hiyo.
Mpango huu unaofanywa na EDO MWAMALALA na CHAGULANI nyuma yake
unafadhiliwa na BERNARD MEMBE, MWIGULU NCHEMBA, NAPE NNAUYE, kwa taarifa
nilizo nazo na za kuaminika vijana hawa wanalipwa fedha nyingi sana na
viongozi hao waandamizi wa CCM na SERIKALI ambao wamekosa sera na kuamua
kuingia kwenye siasa za taarabu.
Kwa Binafsi yangu napenda
nitoa tamko rasmi la kulaani kwa nguvu zote vijana wote wa BAVICHA
wanaoendekeza njaa mbele na kuweka masilahi ya chama kando kuacha mara
moja mchezo huu mchafu. Waache kuwa na akili za Samaki na hatimaye
wajitegemee kisiasa. Na niwaombe viongozi hawa wa CCM waache kutumia
tatizo la umasikini wa vijana hawa kuwarubuni na kuwatumia wenzao kama
mipira ya mapenzi.
Ili kuepuka siasa hizi zisizo na tija kwa
jamii niwaombe viongozi wenzangu wa BAVICHA kuachana na kujibizana na
hawa wapumbavu, kwani ukijibizana na mpumbavu na wewe pia utakuwa
mpumbavu, dhumuni lao tutumie muda mwingi kujibizana nao na tupuuze
kujadiliana mambo ya msingi kwa mustakabali wa TAIFA.
CHADEMA
tutaendelea kuwa na nguvu na kamwe hatuwezi kupunguzwa nguvu na siasa
laini kama hizi. Kinachoshangaza ni kuona anayefadhili ushenzi huu ana
ndoto za kuwania Uraisi katika nchi yetu, kweli kwa siasa laini hivi
uraisi atauweza?
Imekuwa ni kama tabia yake ya kuwatumia vijana
kutimiza malengo yake, kwani ni wazi katika mkutano mkuu wa CCM
uliofanyika mkoani Dodoma alituhumiwa na wajumbe wenzie kutumia vijana
kusambaza vipeperushii vilivyokuwa vikiwaomba wajumbe wa mkutano huo
kumkataa Mwenyekiti wao kwa kisingizio cha kumpunguzia majukumu.
Sasa kashindwa huko anakuja kuingilia siasa za CHADEMA kwa kuwatumia
vijana wetu wasiokuwa waadilifu; nimwambie kwa upendo tu kwamba CHADEMA
TUKO IMARA KAMA CHUMA.
Na. Alex Nicholaus Thomas MUSHI,
Mjumbe wa Baraza kuu la CHDEMA-Taifa,
Mjumbe wa kamati tendaji BAVICHA-Taifa.
Nimesikitishwa sana na vijana wenzangu kutumika kisiasa kiasi cha
kuudhalilisha utu wao. Kijana aiitwaye EDO MWAMA LALA, aliyekuwa katibu
wa BAVICHA mkoa wa Mbeya na Adam CHEGULANI (diwani wa jiji la mwanza
aliyenyang’anywa kadi),wote hawa walifukuzwa Chadema kwa kutokuwa
waadilifu. Wapo kwenye kibarua haramu cha kuhakikisha wanawashawishi
vijana (hasa BAVICHA)kutoa matamko ya kumhujumu Dr. Slaa kisiasa kupitia
vyombo vya habari.
Na wameanza mpango wao na kwa kiasi kikubwa wameanza kufanikiwa, kwani wamefanikiwa kumshawishi katibu wa BAVICHA mkoa wa MWANZA, ndugu SALVATORY SHUKURU MAGAFU kutoa tamko kwenye vyombo vya habari kuomba chama kimfukuze Dr. Slaa chamani. Pia leo hii tayari wanaye kijana mwingine maarufu wa chadema, atakae toa tamko muda wowote kuanzia sasa, kijana huyu wamemlipia hoteli moja maarufu iliyopo hapa jijini na kumpa fedha za kutosha ili atoe tamko kali la kumlaani Dr. Slaa.
Kwa huu mpango (walioupa jina la MWISHO WA SLAA) ulivyo watajitokeza vijana wengi sana watakaotoa matamko kumlaani Dr. Slaa kwa kutumia mwavuli wa BAVICHA imesema. Kwa akili zao zilivyofupi kama maisha ya funza wanadai wanadhamiria kumuua kabisa Dr. Slaa kisiasa. Na vijana wengi wamekuwa wakishawishika na upumbavu huu wa EDO na ADAM kwasababu ya fedha nyingi wanazopewa baada ya kukamilisha kazi hiyo.
Mpango huu unaofanywa na EDO MWAMALALA na CHAGULANI nyuma yake unafadhiliwa na BERNARD MEMBE, MWIGULU NCHEMBA, NAPE NNAUYE, kwa taarifa nilizo nazo na za kuaminika vijana hawa wanalipwa fedha nyingi sana na viongozi hao waandamizi wa CCM na SERIKALI ambao wamekosa sera na kuamua kuingia kwenye siasa za taarabu.
Kwa Binafsi yangu napenda nitoa tamko rasmi la kulaani kwa nguvu zote vijana wote wa BAVICHA wanaoendekeza njaa mbele na kuweka masilahi ya chama kando kuacha mara moja mchezo huu mchafu. Waache kuwa na akili za Samaki na hatimaye wajitegemee kisiasa. Na niwaombe viongozi hawa wa CCM waache kutumia tatizo la umasikini wa vijana hawa kuwarubuni na kuwatumia wenzao kama mipira ya mapenzi.
Ili kuepuka siasa hizi zisizo na tija kwa jamii niwaombe viongozi wenzangu wa BAVICHA kuachana na kujibizana na hawa wapumbavu, kwani ukijibizana na mpumbavu na wewe pia utakuwa mpumbavu, dhumuni lao tutumie muda mwingi kujibizana nao na tupuuze kujadiliana mambo ya msingi kwa mustakabali wa TAIFA.
CHADEMA tutaendelea kuwa na nguvu na kamwe hatuwezi kupunguzwa nguvu na siasa laini kama hizi. Kinachoshangaza ni kuona anayefadhili ushenzi huu ana ndoto za kuwania Uraisi katika nchi yetu, kweli kwa siasa laini hivi uraisi atauweza?
Imekuwa ni kama tabia yake ya kuwatumia vijana kutimiza malengo yake, kwani ni wazi katika mkutano mkuu wa CCM uliofanyika mkoani Dodoma alituhumiwa na wajumbe wenzie kutumia vijana kusambaza vipeperushii vilivyokuwa vikiwaomba wajumbe wa mkutano huo kumkataa Mwenyekiti wao kwa kisingizio cha kumpunguzia majukumu.
Sasa kashindwa huko anakuja kuingilia siasa za CHADEMA kwa kuwatumia vijana wetu wasiokuwa waadilifu; nimwambie kwa upendo tu kwamba CHADEMA TUKO IMARA KAMA CHUMA.
Na. Alex Nicholaus Thomas MUSHI,
Mjumbe wa Baraza kuu la CHDEMA-Taifa,
Mjumbe wa kamati tendaji BAVICHA-Taifa.
Na wameanza mpango wao na kwa kiasi kikubwa wameanza kufanikiwa, kwani wamefanikiwa kumshawishi katibu wa BAVICHA mkoa wa MWANZA, ndugu SALVATORY SHUKURU MAGAFU kutoa tamko kwenye vyombo vya habari kuomba chama kimfukuze Dr. Slaa chamani. Pia leo hii tayari wanaye kijana mwingine maarufu wa chadema, atakae toa tamko muda wowote kuanzia sasa, kijana huyu wamemlipia hoteli moja maarufu iliyopo hapa jijini na kumpa fedha za kutosha ili atoe tamko kali la kumlaani Dr. Slaa.
Kwa huu mpango (walioupa jina la MWISHO WA SLAA) ulivyo watajitokeza vijana wengi sana watakaotoa matamko kumlaani Dr. Slaa kwa kutumia mwavuli wa BAVICHA imesema. Kwa akili zao zilivyofupi kama maisha ya funza wanadai wanadhamiria kumuua kabisa Dr. Slaa kisiasa. Na vijana wengi wamekuwa wakishawishika na upumbavu huu wa EDO na ADAM kwasababu ya fedha nyingi wanazopewa baada ya kukamilisha kazi hiyo.
Mpango huu unaofanywa na EDO MWAMALALA na CHAGULANI nyuma yake unafadhiliwa na BERNARD MEMBE, MWIGULU NCHEMBA, NAPE NNAUYE, kwa taarifa nilizo nazo na za kuaminika vijana hawa wanalipwa fedha nyingi sana na viongozi hao waandamizi wa CCM na SERIKALI ambao wamekosa sera na kuamua kuingia kwenye siasa za taarabu.
Kwa Binafsi yangu napenda nitoa tamko rasmi la kulaani kwa nguvu zote vijana wote wa BAVICHA wanaoendekeza njaa mbele na kuweka masilahi ya chama kando kuacha mara moja mchezo huu mchafu. Waache kuwa na akili za Samaki na hatimaye wajitegemee kisiasa. Na niwaombe viongozi hawa wa CCM waache kutumia tatizo la umasikini wa vijana hawa kuwarubuni na kuwatumia wenzao kama mipira ya mapenzi.
Ili kuepuka siasa hizi zisizo na tija kwa jamii niwaombe viongozi wenzangu wa BAVICHA kuachana na kujibizana na hawa wapumbavu, kwani ukijibizana na mpumbavu na wewe pia utakuwa mpumbavu, dhumuni lao tutumie muda mwingi kujibizana nao na tupuuze kujadiliana mambo ya msingi kwa mustakabali wa TAIFA.
CHADEMA tutaendelea kuwa na nguvu na kamwe hatuwezi kupunguzwa nguvu na siasa laini kama hizi. Kinachoshangaza ni kuona anayefadhili ushenzi huu ana ndoto za kuwania Uraisi katika nchi yetu, kweli kwa siasa laini hivi uraisi atauweza?
Imekuwa ni kama tabia yake ya kuwatumia vijana kutimiza malengo yake, kwani ni wazi katika mkutano mkuu wa CCM uliofanyika mkoani Dodoma alituhumiwa na wajumbe wenzie kutumia vijana kusambaza vipeperushii vilivyokuwa vikiwaomba wajumbe wa mkutano huo kumkataa Mwenyekiti wao kwa kisingizio cha kumpunguzia majukumu.
Sasa kashindwa huko anakuja kuingilia siasa za CHADEMA kwa kuwatumia vijana wetu wasiokuwa waadilifu; nimwambie kwa upendo tu kwamba CHADEMA TUKO IMARA KAMA CHUMA.
Na. Alex Nicholaus Thomas MUSHI,
Mjumbe wa Baraza kuu la CHDEMA-Taifa,
Mjumbe wa kamati tendaji BAVICHA-Taifa.
Post a Comment