HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » NIGERIA WATWAA UBINGWA WA MICHUANO YA KOMBE LA AFRIKA MAARUFU KAMA AFCON BAADA YA KUIFUNGA BURKINA FASO 1-0.

 
 Huu ni ujumbe uliobebwa na mashabiki wa Nigeria wakati wa fainali  ya kombe la Afika 2013 kwenye uwanja wa National Stadium huko Johannesburg Nigeria ilishinda na ubao wa matangazo ulisomeka (Nigeria 1 - 0 Burkina Faso)
 Mohamed Koffi of Burkina Faso battles with Victor Moses of Nigeria   during the Final 2013 Orange Africa Cup of Nations match between Nigeria and Burkina Faso on the 10th February 2013 at National Stadium in Johannesburg
Mohamed Koffi wa Burkina Faso akimkaba Victor Moses wa Nigeria wakati wa fainali ya kombe la Afika 2013 kwenye uwanja wa National Stadium huko Johannesburg  na ubao wa matangazo ulisomeka (Nigeria 1 - 0 Burkina Faso)
 Bakary Kone of Burkina Faso battles with Brown Ideye of Nigeria  during the Final 2013 Orange Africa Cup of Nations match between Nigeria and Burkina Faso on the 10th February 2013 at National Stadium in Johannesburg 
Bakary Kone wa Burkina Faso akimkaba Brown Ideye wa Nigeria wakati wa fainali ya kombe la Afika 2013 kwenye uwanja wa National Stadium huko Johannesburg na ubao wa matangazo ulisomeka (Nigeria 1 - 0 Burkina Faso)
 Sunday Mba of Nigeria celebrates during the 2013 Orange Africa Cup of Nations Final football match between Nigeria and Burkina Faso at the National Stadium in Johannesburg, South Africa on February 10, 2013 
Sunday Mba wa Nigeria akishangilia goli wakati wa fainali ya kombe la Afika 2013 kwenye uwanja wa National Stadium huko Johannesburg
http://assets.espn.go.com/media/motion/ESPNi/2013/0210/int_130210_AFCON_nigeria_burkina_HL/int_130210_AFCON_nigeria_burkina_HL.jpg 
Victor Moses akiwaonesha mashabiki  wa Nigeriakombe la Mataifa huru ya Afrika 2013
  
  Wachezaji wa Nigeria wakiwa na furaha baada ya kuwa bingwa mpya wa kombe la Afrika 2013
 Wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa kombe na ubao wa matangazo ulisomeka (Nigeria 1 - 0 Burkina Faso)
 
Wachezaji wa Nigeria wakizunguka na kombe uwanjani waliposhinda na ubao wa matangazo ulisomeka (Nigeria 1 - 0 Burkina Faso)

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: