HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » POLISI MKOANI DODOMA WAKABIDHIWA PIKIPIKI NA KAIMU MKUU WA MKOA WA DODOMA

 Kamanda wa polisi Mkoa wa Dodoma David Misime akielezea jambo wakati alipokuwa akikabidhi pikipiki moja kwa jeshi la polisi analoliongoza aliyonunua kutokana na zawadi 1.5 mil aliyokabiziwa mwezi uliopita wakati akaribishwa Mkoani hapo.
 
 Kamanda wa polisi Mkoa wa Dodoma David Misime akiendelea kuelezea jambo wakati wa alipokuwa akikabidhi pikipiki moja kwa jeshi la polisi analoliongoza aliyonunua kutokana na zawadi 1.5 mil aliyokabiziwa mwezi uliopita wakati akaribishwa Mkoani hapo.

 Kaimu Mkuu wa mkoa wa Dodoma Elasto Mbwilo akielezea jambo wakati alipokuwa akikabidhi pikipiki moja kwa jeshi la polisi analoliongoza aliyonunua kutokana na zawadi 1.5 mil aliyokabiziwa mwezi uliopita wakati akaribishwa Mkoani hapo.
 
 Meneja wa Kanda wa Benki ya NBM Gabriel Ole Loibanguti akielezea jambo wakati alipokuwa akikabidhi pikipiki moja kwa jeshi la polisi analoliongoza aliyonunua kutokana na zawadi 1.5 mil aliyokabiziwa mwezi uliopita wakati akaribishwa Mkoani hapo.

 Kaimu mkuu wa Mkoa wa Dodoma Elasto Mbwilo akimkabidhi funguo za pikipiki Kamanda wa polisi Mkoa wa Dodoma David Misime wakati wa makabidhiano ya pikipiki wa ajiri ya kuimarisha ulinzi Dodoma.
Kaimu mkuu wa Mkoa wa Dodoma Elasto Mbwilo akimsikiliza Kamanda wa polisi mkoani humo mala baada ya kukabidhiwa funguo za pikipiki moja aliyoitoa kwaajili ya jeshi la polisi.
Kaimu Mkuu wa mkoa wa Dodoma Elasto Mbwilo akielekezwa jinsi ya kuwasha pikipiki moja kati ya tatu na Meneja wa Kanda wa Benki ya NBM Gabriel Ole Loibanguti, Pikipiki hizo zilikabidhiwa kwa jishi la polisi mkoa wa Dodoma ili ziweze kurahisisha usafiri

PICHA KWA HISANI YA  JOHN BANDA 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: