HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » VURUGU ZATOKEA BUNGENI KIKAO CHA BUNGE CHAVUNJIKA

Hali ya  bunge la Jamhuri  ya Muungano  wa Tanzania  si shwari baada ya  wabunge  wa CCM na Chadema  kuvutana  bungeni  sasa .

Hivi  sasa mwanasheri mkuu  wa serikali ameingilia kati  kwa  kutoa japo  uwezekano  wa kuongea umekuwa mgumu baada ya wabunge wa Chadema  kufanya  vurugu  kubwa kwa kuimba CCM! CCM!,CCM !!


Hadi  sasa hali  imeendelea  kuwa tete katika ukumbi  huo wa  bunge  baada ya  wabunge  kugomea hoja hiyo ya mbunge wa jimbo la Ubunge John Nyika na bunge  kuhairishwa na bunge limevunjika hadi kesho asubuhi.
 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: