HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » Waziri wa Ujenzi, Profesa John Magufuli afungua mkutano wa bodi ya Usajili ya Wakandarasi (CRB) na bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB)

3  
Waziri wa Ujenzi, Profesa John Magufuli akiwa na Mwenyekiti wa bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB), Consolata Ngimbwa kwenye mkutano wa ufunguzi wa bodi ya Usajili ya Wakandarasi (CRB) na ERB iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana.
 1
Waziri wa Ujenzi, Profesa John Magufuli akiongea kwenye mkutano wa ufunguzi wa bodi ya Usajili ya Wakandarasi (CRB) na bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana.
2 
Waziri wa Ujenzi, Profesa John Magufuli akimpa tuzo Mhandisi, Exaud Mushi ya pongezi baada ya kumaliza muda wake  kwenye bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) wakati wa uzinduzi wa bodi ya Wakandarasi (CRB) na ERB iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana.PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: