Gari hili lenye namba T 940 DJQ lililokuwa likiendeshwa na Gervas
Sanga limegongwa eneo la National mjini Iringa katika barabara ya
Iringa -Dodoma chanzo ni mashimo yaliyopo eneo hilo ambayo
yamesababishwa na usimamizi mbovu wa TANROADS mkoa wa Iringa(Picha na Francis Godwin)
Gari likitolewa kwenye eneo la tikio








No comments:
Post a Comment