By: VIJIMAMBO
on March 24, 2013
/
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisalimiana na Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, wakati alipofika kumjulia
hali nyumbani kwake Victoria jijini Dar es Salaam jana Machi 23, 2013
baada ya mzee Kingunge kulazwa Hospitali ya Muhimbili kwa uangalizi hivi
karibuni alipougua ghafla.(Picha na OMR)
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na Mzee Kingunge Ngombale Mwiru
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, wakati alipofika kumjulia
hali nyumbani kwake Victoria jijini Dar es Salaam, Kulia ni Mke wa Mzee Kingunge.
Tag:
PAMOJA BLOG's Admin
HABARI, SIASA , AFYA , JAMII NA MATUKIO MBALIMBALI.
No comments:
Post a Comment