Meneja wa Club ya V.I.P mjini Iringa
Mick akiwa amezima baada ya kunya viroba na kisichana kwa kuonyesha
uwezo wake na baada ya dakika 20 akazima kama hivi. Ukisema ulevi noma wapo watakaosema
ulevi ni sehemu ya kupoteza mawazo ila kwa tukio hilo kila mmoja anaweza
ungana nami kuwa kweli ulevi noma hapa ni eneo na TFA mjini Iringa
ambapo hadi sasa meneja huyu wa Club ya V.I.P akiwa amezima kwa kunywa
pombe kupita kiasi. (Picha na Francis Godwin)
Mlinzi wa eneo la TFA akijaribu
kumsaidia baada ya polisi kufika na kuamua kumwacha kutokana na ugonjwa
wake wa pombe kutokuwa na daktari wa kutibu
Wasamaria wema wakimtazama meneja huyo chapombe akiwa amezima
Hapa idadi ya walinzi ikiendelea kuongezeka eneo la tukio mjini Iringa usiku huu.



No comments:
Post a Comment