HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » Tanzania Women of Achievement Awards 2013 yafanyika leo

Washindi wakijikusanya pamoja kufurahia ushindi huo
Tarehe 28 machi 2013 ni siku iliyoleta furaha katika macho ya wengi, hasa wale wanawake ambao wamepata tuzo hizi, tuzo ambazo zinahusika na kutambua pamoja na kuwapa moyo wanawake wa Tanzania ambao wana jitihada na wanafanya vizuri katika kazi zao, hizi ni baadhi ya picha za sherehe zilizofanyika katika hoteli ya Serena, iliyoko jijini Dar es salaam.
 Glory Matoi mshindi wa Tuzo za mwanamke mwenye mafanikio anaechipukia (Young achiever)
 Dina Marios akichukua tuzo yake ya Women of the Year

 Dr.Regina Kapinga akishukuru baada ya tuzo ya Science & Technology award
 Dr.Linda Ezekiel mshindi wa kitengo cha Afya
 Dr.Ruth Meena ambae alipokea tuzo katika kitengo cha Elimu

 
 Agriculture Award imeenda kwa mama Emiliana Eligaesha
 Band ya "No strings attached" ambayo imewakilisha


«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: