UPDATES: KUTOKA KAMATI KUU YA MAZISHI IMESEMA MWILI WA MAREHEMU ALBERT MANGWEA UTAFIKA NCHINI TAREHE 1/06/2013

Marehemu Albert Mangwea enzi za uhai wake
 
Kwa ushirikiano na shirikisho la muziki Tanzania habari zinasema kwamba mwili wa marehemu Albert Mangwea unatarajia kuletwa nchini Tanzania tarehe moja (1)  mwezi wa sita 2013 (01/06/2013) ambayo itakuwa ni Jumamosi na kuna mpango wa kuandaa sehemu ya wapenzi na mashabiki kumuaga siku ya jumapili katika eneo litakalotangazwa na Kamati ya mazishi

No comments

Powered by Blogger.