UPDATES ZA MSIBA WA MANGWEA: KIKAO CHA WASANII WA KIZAZI KIPYA KINAENDELEA LEADES CLUB NA KAMATI KUU YAUNDWA

 Hii ndio kamati kuu  ambapo P Funk amekuwa mkuu wa kamati na wasanii wengine waliokuwa kwenye kamati ni Wasaanii wa Chemba Squard (Noora na Mez B), Jay Moe, Lady Jadee, Professa Jay Micheli Mzungu, Rommy Jones,  Madam Juma na T.I.D, Chizi Mox
 Kikao cha kamati kuu ikikiendelea ili kutoa kitakachofanyika kwenye msiba wa Marehemu Albert Mangwea
 Mchizi Mox(kushoto) akieleza jambo kwenye kamati kuu iliyotajwa mida hii kwenye viwanja vya leaders Club katikati ni P Funk akiwa na karani (kulia)
Noorah (kushoto) akiwa na Mez B (katikati) Wanachemba wakiwa na Profesa J kwenye kikao cha kamati
 Watu wakibadilishana mawazo baada ya kamati kuu kukaa kwenye kikao cha siri

Dada wa Marehemu akieleza jambo kwenye vyombo vya habari

PICHA NA PAMOJAPURE BLOG

No comments

Powered by Blogger.